Bado Najipanga. Kwa kweli \nimeshindwa kuimanage hii blog . Natafuta Msaidizi.
Tuwiane radhi.
Jose Mara.
Monday, February 27, 2012
Thursday, November 3, 2011
BIRTHDAY NA FAMILIA NA MARAFIKI
Jana Nilishinda Nyumbani siku Nzima na jioni Wife Kaniandalia Chakula Cha jioni na Marafiki. Asanteni sana Mapacha kwa Kujumuika nami.
Nilipenda sana Cake Yangu..Thanks wife.
Wednesday, November 2, 2011
LEO NASHEREHEKEA SIKU YANGU YA KUZALIWA
Leo ninapotimiza Miaka Kadhaa toka niingie hapa duniani, namshukuru mwenyezi Mungu kwa kunipatia pumzi na kunifikisha mwaka huu mwingine.
Shukrani Kwenu wote mlionitumia salamu za heri ya siku yangu hii ya kuzaliwa
Nimshukuru pia kwa Familia yangu, Mke na watoto Wangu, Nawapenda sana na shukrani kwa kuwa na mimi kwa mwaka huu uliopita na siku zote katika raha,karaha,furaha na shida.
Niwashukuru wenzangu wa Mapacha watatu..Pamoja sana vijana wenzangu katika Kazi. Fans wangu pia mmechangia sana katika mafanikio yangu ya mwaka huu.
Sababu Leo Mapacha Hatuna Kazi, Nitatumia Muda huu Kusherehekea Birthday Yangu nyumbani, Kifamilia Zaidi.
Thanks
Tuesday, November 1, 2011
Hongera kutimiza Miaka Mitano 8020fashion Blog
Mmiliki wa 8020 blog Shamim...Hongera sana Mama
Steve.Mtendaji Mkuu wa FM Events.
Big Up kwa Sponsor Wangu FM Express events kwa kazi nzuri kupendezesha Ukumbi.
Monday, October 24, 2011
HAPPY BIRTHDAY TO MY SON MICHAEL
Jumamosi ya tarehe 22 October kijana wangu wa kwanza Michael Alitimiza Miaka 6. Tulimpeleka Lunch Kifamilia zaidi Pale Spur kukata cake yake. Na Alipendelea zaidi Birhday Cake ya pili akakate na wenzake Shuleni. Ambako itafanyika leo pale badae.
Michael - 6Years - HAPPY Birthday Kaka Maiko
Sunday, October 23, 2011
MAPACHA QUEENS
Kila jumapili Mapacha Tuko Mzalendo pub na kila jumanne coco star club beach na Alhamis ni Pale Club Sunciro Sinza. Hawa Wakinadada Ni CREAM ya Dancers Tanzania. Niamini mimi. Njoo uone wakichakachua Halafu Utaniambia..
Subscribe to:
Comments (Atom)











